🗣 Verbos relacionados con el lenguaje

Español

Suajili

  • afirmar
  • (declarar, decir) kunena • (el sacerdote afirmó poder revivir a un joven fallecido) kasisi huyo alidai kuwa ana uwezo wa kumfufua kijana mmoja aliyefariki
  • anunciar
  • kutangaza (tb publicitar) • (el presidente ha anunciado el cierre de todas las escuelas) rais ametangaza kufungwa kwa shule zote • (…ha anunciado que todos los hospitales…) …kimetangaza kuwa hospitali zote…
  • callarse
  • kunyamaza
  • comentar
  • kutaja ('mention'), kutaja nena (!verif, !taja='groin')
  • comunicar
  • kupitisha ('pass') • (+ b ~se) kuwasiliana (con: na)
  • contar (relatar)
  • (decir a algn) kuambia (+O oblig) • (les conté a los ancianos vuestras noticias) niliwaambia wazee habari zenu • (a algn) kusimulia
  • contestar
  • kujibu • kutoa jawabu
  • debatir
  • kufanya mdahalo (tb: mdakhalo) • ('discuss') kujadili juu ya
  • decir
  • kusema, (+b a algn) kuamba / kwamba (=monos) • (algo a algn) kuambia (PSV: kuambiwa) • (dile...) mwambie... • (dijo que en esa visita) alisema katika ziara hiyo • (te lo he dicho mil veces) nimekuambia mara kwa mara • (v-pr tb: ~, comunicar, anunciar) kutaja • (ha dicho a la BBC) ameiambia BBC kuwa... • (os lo dirá) atawaambieni, atawaambia ninyi • (se lo dirá a ellos) atawaambia (tb: os lo dirá) • (no se lo digas) usimwambie
  • declarar
  • ('declare') kutamka • ('state') kunena, kutaganza (<=anunciar); (~ la guerra) kutangaza vita; (~ en aduana) kuonyesha mali mpya; (declara el estado de emergencia) …yatangaza hali ya dharura (kutangaza: anunciar); (Oscar Pistorius es declarado culpable de asesinato) Oscar ‪‎Pistorius‬ apatikana na hatia ya mauaji
  • discutir
  • ('discuss') kujadili • ('argue') kutoa hoja • (competir) kushindana • (hacer un debate) kufanya mdahalo • (prensa: para ~ sobre) kujadili juu ya • (reader: 'talk about') kuongelea
  • expresar
  • kukama (!sdo princ: squeeze, wring') {expression: sura, neno} • (expresó su esperanza de que...) ameeleza matumaini yake kuwa...
  • hablar
  • kusema (psv: kusemwa) • (~le a algn) kusemea • (~ suajili) kusema Kiswahili • (~ sobre) kuzungumza (!prep?, !sdo conversar) • (¿hablas inglés?) wazumgumza Kiingereza? • (visto, ~ con algn) kuongea na
  • indicar
  • kuonyesha ('indicate', mostrar)
  • llamar
  • -ita (requiere O) • (llámalos) waite • (Ilamadlos) waiteni • (por teléfono) kupiga simu, kusinga • (a algn por teléfono) kupigia simu • (~ a la oración) kuadhini • (llámeme a un taxi) niitie teksi • (te llamaré) nitakupigia simu • (dar/poner nombre) kumpatia jina mtoto • (llama (frml) a los estudiantes) uwaite wanafunzi
  • negar
  • ('deny') kukana, kunyima ('withhold, deny') • ('refuse') kukataa
  • referirse
  • --
  • repetir
  • kurudia, kutena • (¿puedes ~ lo que has dicho?) unaweza kurudia ulichosema?
  • señalar
  • (lanzar una señal) kutoa ishara • (mostrar, indicar) kuonyesha • (con el dedo) kuelekeza ('point, direct, instruct')