🗡 Armas

Español

Suajili

  • arma
  • silaha (=) • (arma letal) silahi ya mauaji
  • bala
  • risasi (=)
  • bomba
  • bomu (mabomu) • (explota una bomba en un restaurante de Somalia) bomu lalipuka katika mgahawa Somalia
  • espada
  • upanga (panga), upanga kitara
  • misil
  • kombora (cl 5) • (~ guiado) kombora linaloelekeza
  • munición
  • risasi, baruti
  • paracaídas
  • parachuti, mwavuli • (tirarse en ~) kuchupa kwa mwavuli
  • pistola
  • bunduki • (disparar una ~) kupiga bunduki
  • provisiones
  • vyakula (alimentos)
  • proyectil
  • kombora (makombora)
  • tanque
  • birika (mabirika) ('kettle, jug') • (de gasolina) tangi la petroli • (Mil) kifaru